Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Balozi wa Afrika Kusini nchini, Mhe. Thamsanga Dennis Msekelu pamoja na Balozi wa Algeria Mhe. Saad Belabed wakikata keki iliyoandaliwa kwenye hafla hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.)akihutubia kwenye hafla ya maadhimisho ya miaka 25 ya Uhuru wa Taifa la Afrika Kusini iliyofanyika kwenye Hoteli ya Coral Beach jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2019. 
Juu na Chini ni sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo
Prof. Palamagamba John Kabudi akiendelea kuzungumza kwenye hafla hiyo huku Balozi wa Afrika Kusini nchini, Mhe. Thamsanga Dennis Msekelu (aliyeketi) akimsikiliza.
Sehemu nyingine ya wageni wakimsikiliza Prof. Kabudi hayupo pichani.
Juu na chini ni sehemu nyingine ya wageni waalikwa aliohudhuria maadhimisho hayo wakisikiliza hotuba hiyo ya Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Hayupo pichani).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: