Mratibu wa mradi ambaye pia ni Meneja wa TARURA Halmashauri ya Mji Njombe Mhandisi Rais Tembo akitoa ufafanuzi wa shughuli inayoendelea katika eneo la maegesho ya daladala kwa Naibu Waziri TAMISEMI Ndg. Joseph Kandege
Naibu Waziri TAMISEMI Ndg. Joseph Kandege akisikiliza maelekezo ya shughuli zinazoendelea kwenye ujenzi wa soko la kisasa Njombe kutoka kwa Mhandisi Msimamizi wa Mkandarasi Justine Mboka.
 Naibu Waziri TAMISEMI Ndg, Joseph Kandege akitoa maelekezo kwenye ujenzi unaoendelea wa kituo kipya cha Mabasi Njombe.
 Shughuli za Ukamilisha ujenzi wa stendi mpya ya mabasi Njombe ukiendelea
 Fundi akiendelea na kazi ya utengenezaji fremu za madirisha kwa ajili ya majengo ya stendi mpya
Naibu Waziri TAMISEMI Ndg. Joseph Kandege akifuatilia maelezo ya mchoro wa jengo la kusubiria abiria katika maegesho ya mabasi makubwa kutoka kwa Mhandisi Mkazi wa mradi wa ujenzi wa stendi Didas Joseph(mwenye karatasi)
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: