Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja mmoja wa washindi wa Promosheni ya Jigftishe Yussuph Miraro kutoka mkoani Arusha. 
 Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja mmoja wa washindi wa Promosheni ya Jigiftishe mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro Hilda Lema.
 Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi Mkazi wa Moshi mjini, mkoani Kilimanjaro Albina Mmbaga mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja baadaya kufanikiwa kuibuka mshindi wa Promosheni ya Jigiftishe.

Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa zawadi ya shilingi milioni moja wlizoshinda kupitia promosheni ya Tigo Jigiftishe kutoka mkoa wa Kilimanjaro na Arusha muda mfupi baada ya kuwakabidhi zawadi zao mjini Moshi jana.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: