Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda (watatu kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara, Novatus Rutageruka (katikati) Mwakilishi Mkaazi wa UNIDO nchini, Bw.Stephen Bainous Kargbo akitembelea maonesho ya tatu ya bidhaa za viwanda vya hapa nchini Tanzania. Maonesho hayo yatafunguliwa rasmi Desemba 6 Mwaka huu katika viwanja vya Mwalimu Nyerere-Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Viwanda biashara na uwekezaji Joseph Kakunda akiangalia bizaa zinazotengenezwa na kiwanda cha Darsh,(katika) Mwakilishi Mkaazi wa UNIDO nchini, Bw. Stephen Bainous Kargbo(kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo Biashara,Edwin Rutageruka.
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mh Joseph Kakunda aliyeambatana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara,Edwin Rutageruka akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasilino – NIDA Bi. Rose Joseph, wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ndani ya maonyesho Tatu ya Bidhaa za Viwanda.
Baadhi ya Wananchi waliofika kwenye banda la NIDA ndani ya maonyesho ya Tatu ya Bidhaa za viwanda wakipatiwa elimu juu ya zoezi la usajili, umuhimu wa Vitambulisho vya Taifa na taratibu za kufuata ili kukamilisha hatua za awali za usajili. (Picha na Emmanuel Massaka, MMG)
Waziri wa Viwanda biashara na uwekezaji, Joseph Kakunda akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam juu ya maonesho ya tatu ya bidhaa za wiwanda vya hapa nchini yanayo funguliwa Desemba 6 kwaka huu ambapo kaulimbiu ya mwakaa huu Tanzania sasa tunajenga viwanda.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: