Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali (kushoto)akizundua ujenzi wa Uwanja wa Klabu hiyo (kulia), Rais wa Klabu hiyo Evans Aveva, katika hafla ya kuomba dua kwa ajili ya kuombea timu kuelekea msimu mpya dua iliyofanyika katika Uwanja wa Simba uliopo Bunju B Dar es Salaam jana.
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, akinadisha jenzi ya timu hiyo yenye jina la mshambuliaji wa timu hiyo Laudit Mavugo, katika hafla ya kuomba dua kwa ajili ya kuombea timu kuelekea msimu mpya dua iliyofanyika katika Uwanja wa Simba uliopo Bunju B Dar es Salaam jana.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: