Jaji Jackline Cliff akitoa maelekezo kwa mojawapo ya kikundi kilichoshiriki shindano la Tigo dance la Fiesta jijini mwanza leo, Jumla ya vikundi nane vilichuana.
Kikundi cha Mirambo kikionyesha cheche zake.
Kikundi cha TYT kikiwa mzigoni ndani ya ukumbi wa Villa Park. Mwanza
Kikundi cha TYT kikiwa mzigoni ndani ya ukumbi wa Villa Park. Mwanza
Sehemu ya watu walioshuhudia mchuano wa Tigo Dance la Fiesta
Kikundi cha Team Maximum japo hawakushinda ila walionyesha umahiri mkubwa.
Vikundi vya Scorpion na warriors vikichuana vikali uso kwa uso kuonyesha nani zaidi kati yao kwenye mashindano ya Tigo Dance la Fiesta.
Kikundi cha Turn Kardi kilitoa vionjo vya michael jackson
Kikundi cha warriors kikichuana vikali kutafuta ushindi wa shindano la Tigo Dance la Fiesta
Meneja wa masoko Tigo kanda ya ziwa, Alli Mashauri akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa shindano la tigo dance la fiesta, kikundi cha scorpion waliojishindia kitita cha shilingi milioni moja leo jijini Mwanza.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: