‎Kampuni ya Super Meals Ltd- watengenezaji wa maji ya kunywa ya Cool Blue wiki iliyopita waliweza kushiriki katika maonyesho ya Home Expo yaliyofanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Baada ya Kajunason Blog kutembelea banda lao iliweza kujifunza mambo mengi likiwemo jinsi wanavyozalisha maji pamoja na usambazaji wake. Kikubwa zaidi kampuni hiyo kwa sasa imekuwa na kuanza kujizolea watumiaji wengi zaidi. Pichani kulia ni Afisa Mahusiano Khadija Amri akitoa maeelezo machache kwa mmoja ya wateja walioweza kufika kujionea bidhaa zinazozalishwa na makuni hiyo.
Maelezo yakiendelea.
Mteja baada ya kuridhika na maelezo aliweza kuweka kumbukumbu zake katika daftari la wageni.
Muoneano wa banda la Cool blue.
Bidhaa zinazozalishwa na Super Meals Ltd- watengenezaji wa maji ya kunywa ya Cool Blue.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: