Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wa pili(kulia) akisalimia wakati alipowasili Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro na kufanya mkutano wa ndani kwa wanachama wa UWT jimboni kuhusu umuhimu wa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 31, mwaka huu kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu. (kulia) Mgombea Ubunge Jimbo la Mwanga Prpf. Jumanne Magembe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Kilimnjaro Regina Chonjo. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mama Salma Kikwete akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mwanga Mkoa Kilimanjaro Prof. jumanne Magembe
Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea ubunge (CCM) Jimbo la Same Magharibi David Mathayo
Wakina mama wa UWT mjini Moshi wakishangilia wakati mama Salma alipoongea nao katika mkutano wa ndani
Wakina Mama wa Wilaya ya Mwanga wakimsikiliza mama Salma Kikwete wakati alipowahutubua kwenye mkutano wa ndani akielezea umuhimu wa kupiga kura kwa mwanamke.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: