Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wa pili(kulia) akisalimia wakati alipowasili Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro na kufanya mkutano wa ndani kwa wanachama wa UWT jimboni kuhusu umuhimu wa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 31, mwaka huu kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu. (kulia) Mgombea Ubunge Jimbo la Mwanga Prpf. Jumanne Magembe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Kilimnjaro Regina Chonjo. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wa pili(kulia) akisalimia wakati alipowasili Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro na kufanya mkutano wa ndani kwa wanachama wa UWT jimboni kuhusu umuhimu wa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 31, mwaka huu kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu. (kulia) Mgombea Ubunge Jimbo la Mwanga Prpf. Jumanne Magembe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Kilimnjaro Regina Chonjo. Picha na Mwanakombo Jumaa. 

Toa Maoni Yako:
0 comments: