Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu tokea ametoa wimbo wake wa Ukweli aliyomshirikisha mwanadada Vumilia; msanii wa kizazi kipya Maru Mwidete maarufu kwa jina la Maru kwa sasa toa wimbo wake mwingine ujulikanao kwa jila la Sintokuacha.
Akizungumzia kwa ufupi kuhusu wimbo wake huo Maru alisema kuwa kwa sasa amamshukuru Mungu kwa muitikio wa watu kupokea kwa mikono miwili wimbo huo aliotoa japo bado haujafanya vema kwenye stesheni za redio.
"Naamini kwa vile ni mwanzo lakini najua nao utakubalika kama nilivyotoa wimbo wangu wa Ukweli," alisema.
Akizungumzia kwa ufupi kuhusu wimbo wake huo Maru alisema kuwa kwa sasa amamshukuru Mungu kwa muitikio wa watu kupokea kwa mikono miwili wimbo huo aliotoa japo bado haujafanya vema kwenye stesheni za redio.
"Naamini kwa vile ni mwanzo lakini najua nao utakubalika kama nilivyotoa wimbo wangu wa Ukweli," alisema.
Toa Maoni Yako:
0 comments: