Muimbaji wa nyimbo za Injili Patric Kapiga wa jijini Dar-es-salaam ametoka na album yake ya kwanza SEMA NAMI ambapo aliizindua katika ukumbi wa Msimbazi Center hivi karibuni.
Kapinga ambaye pia ndiye Mkurugenzi wa Sound Vision and Soul anasema Kampuni yake inasaidia kuinua vipaji vya waimbaji wadogo na kuandaa matamasha mbalimbali ya nyimbo za injili. Kapiga pia ni mdogo wake na mtangazaji maarufu wa Praise Power Radio Harris Kapiga “mzee wa Nyota njema”.
Kapinga ambaye pia ndiye Mkurugenzi wa Sound Vision and Soul anasema Kampuni yake inasaidia kuinua vipaji vya waimbaji wadogo na kuandaa matamasha mbalimbali ya nyimbo za injili. Kapiga pia ni mdogo wake na mtangazaji maarufu wa Praise Power Radio Harris Kapiga “mzee wa Nyota njema”.
Kijana kapendeza, pozi
ReplyDelete