Jana ilikuwa ni siku ya Wanaume Duniani ambapo ulifanyika ule mpambano mkubwa pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.


Katika mpambano huo cha kushangaza kila uliyekuwa unamuuliza vp kuhuduu mpambano wa leo (jana) alionyesha vidole kuashiria kuwa kali ipo.

Mpambano huo ambao ulienda kwa dakika tisini na mshindi kuonekana kushinda bao 5-0 na siyo tena 3-0.
Raundi ya kwanza ilikuwa ya vifijo na vigele gele huku mashambulizi yakielemea upande wa pili yaani wenyewe wanaita 'Side B' kwa Wanaume TMK.

Mpira ulikwenda huku ukiangalia ball postion kuonyesha kuwa ni 75% Wanaume Halisi huku Wanaume TMK kuwa na 25%.


Picha zaidi angalia michuzijr.blogspot.com
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: