Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walio katika jeshi la Umoja wa Afrika katika kisiwa cha Anjouani wakishangilia mara baada ya kushiriki katika gwaride la kumpokea rais wa visiwa vya Comoro Ahmed Sambi.
Ni pale mwandishi inapombidi afanye kazi mbili (Pichani ni Mroki Mroki Mwandishi mpigapicha wa gazeti la Habari Leo na Dailynews aliyeambatana na wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walio katika jeshi la Umoja wa Afrika katika kisiwa cha Anjouani , Comoro.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: