Meneja Masoko wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, Kalvin Twissa (katikati) akiongea na Waandishi wa Habari katika Hoteli ya Kempinsky, jijini Dar es Salaam juu ya ujio wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani 50 Cent ambae anatarajiwa kutua nchi Tanzani mapema mwezi ujao (4th May) na kuwasha moto tarehe hiyo 4th May. Kushoto ni Mkurugenzi wa Prime Time Promotion Godfrey Kusaga na kulia ni Afisa wa Ongezeko la Thamani wa Tigo, Salim Madati, waandaaji wa ujio huo.
MWANAMUZIKI 50 CENT IMETHIBITISHWA RASMI KUWA WAANDAAJI NI PRIME TIME PROMOTIONS NA WADHAMINI NI WALE WALE WA KAWAIDA - TIGO.
JAMAA ANATUA MAY 4 NA KUTUMBUIZA MEI 4. TIKETI 700 ZITATOLEWA BURE NA WADHAMINI KWA WASHINDI WA MASHINDANO MBALIMBALI YATAYOANZA KARIBUNI.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: