Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akikabidhi gari la wagonjwa kwa niaba ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Bw. Hassan Bendeye katika Ofisi ya Waziri Mkuu tarehe 1 Aprili, 2016.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akikagua vifaa muhimu ndani ya gari la Wagonjwa. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Bw. Hassan Bendeye katika ofisi ya Waziri Mkuu  tarehe 1 Aprili, 2016.
Muonekano wa Gari la Wagonjwa lililokabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) kabla ya kukabidhi kwa Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Bw. Hassan Bendeye katika Ofisi ya Waziri Mkuu Aprili 1, 2016
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: