Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya (kushoto) na aliyekuwa mfanyakazi wa Benki ya Stanbic, Shose Sinare pamoja na aliyekuwa mwanasheria wa benki ya stanbic Sioi Solomon wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jioni, ambapo wameshitakiwa  kwa tuhuma za kula njama za kutakatisha fedha na kugushi.
aliyekuwa mfanyakazi wa Benki ya Stanbic, Shose Sinare.
 
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: