Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Vunjo, Innocent Shirima mjini Himo
Mgombea ubunge Jimbo la Vunjo kupitia CCM, Innocent Shirima, akikana mbele ya wananchi na Dk Magufuli uvumi uliozagaa kwamba anataka kuihama CCM kwenda Ukawa wakati wa mkutano wa kampeni katika mji wa Himo.
Toa Maoni Yako:
0 comments: