Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF Louis Accaro (kulia) akibadilishana mawazo na mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce , Industry and Agriculture (TCCIA)wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi a Diamond Jubilee.
 Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF Louis Accaro akiongea wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi a Diamond Jubilee.
Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF Louis Accaro (katikati) akibadilishana mawazo na mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce , Industry and Agriculture (TCCIA)wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi a Diamond Jubilee.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: