Katibu Mkuu wa Wizara ya viwanda na Biashara Uledi Abbas Musa ( Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel , Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora, Mtoa huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya habari na tecknologia pamoja na mshindi wa pili wa maonyesho kwa mwaka huu. Akishuhudia (katikati) ni mwenyekiti wa Tanzania Chamber of Commerce , Industrial and Agriculture Elibariki Mmari.
Afisa masoko na biashara wa Airtel, Emmanuel Raphael katika picha na makombe mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kuibuka washindi katika vipengele mbalimbali katika maonyesho Biashara ya Afrika Mashariki ya mwaka huu.
Wafanyakazi wa Airtel kwa pamoja wakiwa na makombe yao mara baada ya kukabithiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya viwanda na Biashara Uledi Abbas Musa mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kuibuka washindi katika vipengele mbalimbali katika maonyesho Biashara ya Afrika Mashariki ya mwaka huu
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: