Diamond Platnumz katika stage la Tamasha kubwa la burudani linalokwenda kwa jina la JEMBEKA FESTIVAL liliyofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza na kukusanya ummati mkubwa. Tamasha hilo liliweza kukidhi haja za mashabiki wake kwani walilazimika kubaki eneo la tukio hadi mwisho wa tukio majira ya saa 12 asubuhi ya siku iliyofuata.
Diamond Platnumz akimlisha keki Mkurugenzi wa Jembe ni Jembe Dr. Sebastian Ndege ikiwa ni sehemu ya Uzinduzi wa Jembe Fm 93.7 Mwanza, ndani ya Tamasha la JEMBEKA FESTIVAL liliyofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza na kukusanya ummati mkubwa. Tamasha hilo liliweza kukidhi haja za mashabiki wake kwani walilazimika kubaki eneo la tukio hadi mwisho wa tukio majira ya saa 12 asubuhi ya siku iliyofuata. 
Cake ya uzinduzi.
Juu....
The Platnumz kikazi zaidi.
Hatari.
Shaap....
Waooo....!!
Kikazi zaidi...
Makamuzi wacha yaendelee.
Shughulini.
Wasafi.
Izo Bizness.
Mkali wa Hip hop Izo Bizness ndani ya uzinduzi wa JEMBEKA FESTIVAL 2015.
Godzillah.
Mr. Blue.
Mr. Blue akifanya yake yake kwa stage. 
Mheshimiwa Temba, Maromboso na Chege katika songi lao Wauwe. 
Chege na Temba.
Wanaume.
Madee.
Wana waliimba na Madee.
Yamoto Band.
Stape ..Nyataaaa.
Maufundi kwa stage na Yamoto Band.
Dogo Asley.
Kiduku kilichezeka kwa mguu mmoja.
Kamata twende.
JJ Band wakiwa na Dogo Janja.
H. Baba akiwa na mabalozi wa JEMBEKA FESTIVAL 2015.
Sekta ya ukarimu ilisimamiwa na Mabalozi wetu hawa.
Mkali wa siku nyingi katika game ya home Kibra aka Sir Juma Nature (kushoto) na G. Sengo (kulia).
Sir Nature.
Kibra.
Kutoka nyuma hadi kwenye umati.
The nyomi is hot.....
Hili game.
The area is full of Shangwe....!!
Aksante Mwanza.

Mmoja wa wasanii washindani wa Mkali Jembeka akionesha ufundi wake katika hip hop kwenye fainali ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.  
Shengwe za wananchi kwa tamasha lililopigwa tangu saa 7 mpaka asubuhi siku iliyofuata na hapa ni mapema kabisa ngoma saa tisa huku burudani zikiwa tayari zimeshika kasi.
Ming'aro ya Mwanza wenyeji na wageni.
Mkali mwingine huyu hapa akionesha ufundi.
Dance la Jembeka wakali waliosisimua kwenye ushindani ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.   
'Shikilia'
JJ Band walikisanukisha ile mbaaaayaa...
Mkali toka A town Dogo Janja ni mmoja kati ya wakali wa Bongo Fleva waliozuka kutoa burudani kwenye Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015 uwanja wa CCM Kirmba jijini Mwanza na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.  
Director Shahib wachaaaaaa......'Changamka' na 'Chemsha Ubongo'
'Mida ya night'
'Changamka'
Ze area at JEMBEKA FESTIVAL lililofanyika mwishoni mwa wikijijini Mwanza.
Mo  Music toka Mwanza.
Mensen Selector alikamua ile kisawasawa....
Kanyaboya ilibamba..
Toka kijiji cha Jembeka VIP Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Mhe. Stanslaus Mabula mwenye koti jekundu nyuma akiwa na wadau wa burudani akiwemo msanii Juma Nature.
Hisia....
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: