Katibu wa UVCCM Taifa Bw Sixtus Mapunda mwenye kofia ya ccm akishiriki mchezo wa kimasai leo wakati wa uzinduzi wa tawi la CCM eneo la wafugaji kijiji cha Idodi
| mjumbe wa baraza kuu la utekelezaji la UVCCM Taifa Secky Kasuga kulia akishiriki na viongozi wa kitaifa kucheza ngoma ya kimasai |
| viongozi wa kitaifa wa UVCCM Taifa wakishiriki kucheza na masai |
| Wananchi wakiwa juu ya miti wakimsikiliza katibu mkuu wa UVCCM taifa leo kijiji cha Idodi |
| wananchi wa Idodi wakiwa katika mkutano wa katibu wa UVCCM Taifa |
| katibu wa UVCCM taifa kulia akimpongeza kada wa CCM |
| Masai wakiwa cheza ngoma |
| katibu mkuu wa UVCCM Taifa Sixtus Mapunda akisimikwa kwa mlezi wa tawi la Uvccm kulia ni Bi Secky Kasuga |
| Mkuu wa shule ya sekondari Idodi akitoa taarifa ya kuungua kwa mabweni ya wanafunzi |
| diwani wa Idodi Bw Onesmo Mtatifikolo akijibu maswali ya wananchi leo |


Toa Maoni Yako:
0 comments: