Moja ya utalii wa ndani katika nchi yetu ni kutembelea maeneo tofauti tofauti kama unavyojionea mwenyewe... Hapo nikiwa Mpakani mwa Mji wa Shinyanga na Mwanza kutokea Kahama.
Tukijaribu kupata ukodak mbele ya bango la mpaka wa Shinyanga na Mwanza. Pichani ni Michael Mukunza ambaye ni Programe Director wetu katika project tunayoifanya akiwekewa kumbukumbu ya Ukodak na mmiliki wa Blog hii... Cathbert Angelo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: