Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi, kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile kuanzia leo.
Home
Unlabelled
ANGETILE OSIAH ATUPA NJE TFF
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: