Bwana Harusi Jacob Yona na Bibi Harusi Jackrine Ngongoseke wakiingia ukumbini  wakati wa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika bustani ya Shekina, Mbezi Beach jijini Dar. 
 
Inaonyesha ni jinsi gani bwana harusi na bibi harusi walivyokuwa wamejipangaaaaaaaaaaaaaa... kutoa burudani kwa wageni waalikwa...
Hapa ni mwendooooo watuacheeee tulingeeee....
Mtuacheeeeeeeeeeeeeeee... kwa raha zetu
Mpaka chini, mpaka chiniiiii...
...Jacob na Jackrine wakiingia kwa nderemo na vificho
Meza ya wazazi na Wajomba wa bwana harusi.
Mzee John Malecela na Mkewe Anna Kilango nao walikuwepo.
Baba na mama wazaa chema (kijana) wakifuatilia.
Bwana Harusi Jacob Yona na Bibi Harusi Jackrine Ngongoseke wakiwa katika nyuso za furaha.
Bwana Harusi Jacob Yona na Bibi Harusi Jackrine Ngongoseke wakiwa pamoja na wasimamizi wao.
Watuacheeeeeeee... Jackrine na msimamizi wake.
Wapambe wa maharusi wakiwa kati nyuso za furaha.
Furaha zilitanda kila meza.
 Showlove kwa bwana na bibi Lukwaro.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: