Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mrs. Monica Mwamunyange akisikiliza kwa makini mada mbalimbali zilizowasilishwa katika mkutano wa 7 wa mapitio ya utendaji wa sekta ya Uchukuzi kabla ya kufunga jana jioni. Kushoto kwa NAibu Katibu Mkuu ni Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhitbi wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), Bw. David Mziray.
 ​Mwenyekiti wa washirika wa maendeleo, Dk. Yazuru Ozeki, akitoa hotuba yake kwa niaba ya washirika wa maendeleo walioshiriki kwenye mkutano wa 7 wa mapitio ya Sekta ya Uchukuzi,uliofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mrs. Monica Mwamunyange akitoa hotuba ya kufunga Mkutano wa 7 wa mapitio ya utendaji wa sekta ya Uchukuzi uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili. Hotuba hiyo ilisomwa kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: