Mwanasheria Mkuu wa kampuni ya simu ya mkononi Tigo Bw. Tumaini Shija (wapili kushoto) akipewa maelezo toka kwa Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja Bw. Zaem Khan (kulia) juu ya huduma zitolewazo na kampuni hiyo kwenye tawi jipya lililofunguliwa Tegeta kibaoni ambayo ndio tawi kubwa kuliko yote Tanzania nzima.
Home
Unlabelled
TIGO YAZINDUA TAWI KUBWA JIPYA TEGETA KIBAONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: