Mwanasheria Mkuu wa kampuni ya simu ya mkononi Tigo Bw. Tumaini Shija (wapili kushoto) akipewa maelezo toka kwa Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja Bw. Zaem Khan (kulia) juu ya huduma zitolewazo na kampuni hiyo kwenye tawi jipya lililofunguliwa Tegeta kibaoni ambayo ndio tawi kubwa kuliko yote Tanzania nzima.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: