Matokea ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) 

Simba 2-2 Mbeya City
Mgambo Shooting 1-1  Stars Rhino Rangers
Mtibwa Sugar 1-1 Tanzani  Prisons
Kagera Sugar 3- 0 Ashanti United 

Ligi hiyo itakamilisha mzunguko wa tano kesho (Septemba 22 mwaka huu) kwa mechi tatu ambapo Azam na Yanga zitacheza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam huku JKT Ruvu ikikwaruzana na Oljoro JKT kwenye Uwanja wa Azam Complex.

Ruvu Shooting inayokamata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi itakuwa mgeni wa Coastal Union katika mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: