Bondia Zumba Kukwe kushoto akimtupia ngumi Hamaduu Mwalimu wakati wa mchezo wao uliofanyika  kwenye ukumbi wa Temeke Mikoroshini ambapo ni nyumbani kwa hamaduu Kukwe alishina kwa K,o ya raundi ya tatu picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com
Refarii Sako Mtlya katikati akimwesabia bonia Hamadu Mwalimu baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Zumba Kukwe kulia Kukwe alishina mchezo huo ka K,O ya raundi ya tatu Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Zumba Kukwe akisagilia ushindi na Kocha wa Mkoa wa Pwani Agostin Uyaga baada ya kwisha mpambano huo
Bondia Mbena Rajabu Kushoto na Kassim Rajabu wakipambana wakati wa mpambano wao wa utangulizi
Matokeo ni Droo
Bondia Saidi Mwalimu kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Zakaria Kibwana wakati wa mchezo wao uliofanyika  katika ukumbi wea super sterio mwalimu alishinda kwa ko, ya raundi ya nne
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: