Alhaji Yusufu Saidi Mfinanga wa Kibaha Njuweni pamoja na mke wake Mama Mfinanga wamewaomba Watanzania kudumisha amani na upendo kwa kuondoa tofauti zao za kidini, kisiasa kwani kufanya hivyo mwenyezi Mungu ataendelea kuijalia amani na baraka iliyo kuwepo hapa nchini kwani kupendana kutaleta maendeleo katika nchi. Tuswali na kuheshimu mamlaka za serikali zilizopo kwani mafundisho ya dini zote yanafundisha amani, upendo na utii.
Home
Unlabelled
KATIKA KUSHEHEREKEA SIKUU YA IDDI WATANZANIA WAMEOMBWA KUDUMISHA AMANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: