Mahaba pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili. Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina kumi ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo:
PILIPILI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgvg1Zr7iUroJg2t2HAmLu9aqf4uIZBvS3yaEsOBrB-LPSn-kGnNB-PvP3l83jwMtc1v93CXq-DYD4rSqTjaYYUFfktxEvGFjeCrCpVSLMJX3h6zYfcJ5G_8Y4zXrv_BQoBRtuphRelxuX/s320/PILIPILI.jpg)
PARACHICHI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVPdV2P-y1iysj12K-WZaYHLfTgUS86_zSvgfZ_quxh4Z0UX5NeujZe8C7zDEJgnQTsVsS5vjRJ3wF370EsdwtnPkIrJa64pg5vKfEQK3i2hzseWtjN_B-S9sAhdtFdvDTdyo7CuVhn1Cz/s320/parachichi2.jpg)
NDIZI
Wakati unafikiria uwezo wa kufanya vema tendo la ndoa unatakiwa kuwaza juu ya uimara wa misuli ya mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye muhimu katika kujamiiana. Kwa msingi huo ulaji wa ndizi mbivu unatajwa kusaidia kujenga misuli mwilini na kumfanya mtu aweze kuwa hodari katika tendo la ndoa.
CHOKOLETI
Ulaji wa Chokoleti huongeza uchangamfu mwilini na hivyo kumuwezesha mtu anayeshiriki tendo la ndoa kuwa na mguso sahihi kwenye fikra zake, jambo litakalomuwezes ha kupokea hisia za mapenzi kwa urahisi zaidi ya mtu ambaye anakwenda kwenye uwanja wa sita kwa sita akiwa mchovu wa mawazo.
CHAZA NA PWEZA
Aina hizi za samaki zinazovuliwa baharini huwa na madini ya zink na chumvi ambayo yanatajwa kusaidia uzalisha wa vichocheo vinavyohamasisha msisimko wa mwili wakati wa tendo la ndoa.
POMEGRANATE
Ni aina fulani ya matunda mekundu yanayofananana na apple. Haya yatajwa kusaidia kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa.
MVINYO MWEKUNDU
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3WNn6ZCXqbaem2S7JqalRQbleLhrBdjiO54s8f5GEIBxhSk0fc5Jz1yeiMWCKw_eLxmW5ul0oRYoBKxdLFaACCjAmD0pSkd1fP2VqKXpz45qRvqD5TrK4pf6GIA74YFVihP1_LngG0DiE/s320/Vanilla+Malt+Cupcakes+01.jpg)
MBEGU ZA MATUNDA
Mchangayiko wa mbegu mbalimbali za matunda, mfano tikiti, maboga husaidia kuondoa ACID mwilini na kumfanya mtu ajione ni mwenye afya njema.
VANILLA
Vanila husaidia kuamasha hamasa mwili.Mwisho wa aina hizi za vyakula ni TIKITI MAJI ambalo linatajwa kuwa na virutubisho vingi vyenye uwezo wa kuusaidia mwili kuwa na nguvu za kutosha kufanya tendo la ndoa.
Toa Maoni Yako:
0 comments: