Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza jambo na baadhi ya viongozi kutoka Sauti ya Walemavu ,
aliyevaa fulana nyeupe ni Alex Mhando mjini Dodoma leo.
Waziri
wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika
picha ya pamoja na baadhi ya viongozi kutoka Sauti ya Walemavu
,aliyevaa fulana nyeupe ni Alex Mhando mjini Dodoma. Picha zote na
Magreth Kinabo - MAELEZO DODOMA.
Toa Maoni Yako:
0 comments: