Ofisa Habari wa Kampuni ya simu Airtel Jackson Mbando akizungumza juu ya mpango wa Airtel Rising Star utakaowakutanisha vijana 6 kutoka katika mikoa 4 nchini.Mbando alisema ratiba ya mpango mzima itatolewa mara baada ya Mfugo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kumalizika.

Meneja Huduma za Jamii Airtel Tunu Kavishe akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani akizungumza kuhusu mpango wake wa kutoa msaada wa vitabu kwa shule za mzingi ikiwemo SUA na nyingine tano zote za mkoani Morogoro kesho.Aliyekaa kushoto ni Ofisa Habari wa Airtel Jackson Mbando.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: