Asia na mamodo wake.Waziri Ally akimpongeza Asia kwa ubunifu; Asia ni mwanamitindo wa kimataifa na mkongwe ktk fani hii kwa zaidi ya miaka 30 akiwa na rekodi ya kufanya maonyesho 83 nchini na 19 nje ya nchi.Modo akitoka na vazi la Khanga za kale.Supa modo wa kiume Martin Kadinda akiwa kazini.Mamodo wakila pozi baada ya onesho.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: