Wafanyabiashara Watatu katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma,Wanashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za kutunza bidhaa katika maghala yasiyotambulika na serikali, huku mwingine akihifadhi bidhaa katika mazingira hatarishi kwa afya ya mwanadamu (Chooni).
Home
HABARI NA MATUKIO
MFANYA BIASHARA MKOANI RUVUMA AJIKUTA MKONONI MWA POLISI BAADA YA KUHIFADHI BIDHAA CHOONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: