Kiwanda cha kusindika Tumbaku cha Songea – Namtumbo ( SONAMCU) kilichopo Songea Mjini mkoani Ruvuma kinatarajia kutoa nafasi za Ajira elfu tatu (3000) baada ya kufufuliwa.
Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa Chama hicho Salum Brashi katika mahojiano na Ruvuma TV.


Toa Maoni Yako:
0 comments: