Mkuu wa wilaya ya NYASA ISABELA CHILUMBA amemwomba mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME kuhakikisha anaingilia kati ujenzi wa nyumba yake ,ofisi ya mkurungenzi baada ya kuonekana TBA kushindwa kuifanya kazi kwa wakati huku TBA wakida kuwa maji ndiyo tatizo licha ya kuzungukwa na ziwa naysa habari kamili hii hapa video yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: