Baadhi ya wanafunzi wa shule ya kimataifa Feza wakiwa na furaha mara ya kuwasilini kutoka nchini Marekani baada ta kushinda medali za dhahabu kwenye mashindano ya Genius Olympiad. Kushoto ni Rashid Jakaya Kikwete, Abdalah Rubeya wakilakiwa na Mhe. Mama Salma Kikwete katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana usiku.

Wanafunzi wa shule ya kimataifa Feza wakiwa na furaha mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakitokea nchini Marekani waliposhiriki mashindano ya Genius Olympiad.
Mzazi wa Rashid Jakaya Kikwete, Mhe. Mama Salma Kikwete akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumpokea mwanae.
Wanafunzi wa shule ya Kimataifa Feza wakiwa pamoja na wanafunzi na wazazi wao mara baada ya kuwasili mara ya kuwasili kutoka nchini Marekani baada ya kushinda medali za dhahabu kwenye mashindano ya Genius Olympiad katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana usiku.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: