Rais Dkt. John Pombe Magufuli afungua kiwanda cha vifungashi cha Global Packaging (T) LTD mjini Kibaha asubuhi hii ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku tatu ya mkoa wa Pwani.
Rais Dkt. Magufuli akiwa na vingozi wenzake ikiwemo Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Charles Mwijage, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo akipata maelekezo mara baada ya kufungua kiwanda cha vifungashi cha Global Packaging (T) LTD mjini Kibaha asubuhi hii ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku tatu ya mkoa wa Pwani. PICHA NA IKULU.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: