Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Bibi Rachel Samren Naibu Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Millicom Group pia Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Zanztel (katikati) Bw. Mauricio Ramos, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya "Millicom Group" (wa pili kulia) na (kushoto) Ndugu Benoit Janin Mtendaji Mkuu wa Zantel ujumbe huo ulifika Ikulu Mjini Unguja leo kwa mazungumzo na Rais leo 23/08/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein, akifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Millicom Group Mauricio Ramos alipofika Ikulu Mjini Unguja, Zanzibar kwa mazungumzo Jumanne 23 Agosti 2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Bibi Rachel Samren Naibu Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Millicom Group pia Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Zantel (katikati) Bw. Mauricio Ramos, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya "Millicom Group" (wa pili kulia) na (kushoto) Ndugu Benoit Janin Mtendaji Mkuu wa Zanztel ujumbe huo ulifika Ikulu Mjini Unguja leo kwa mazungumzo na Rais leo 23/08/2016.
Mkurungenzi
Mtendaji wa Millicom Group Mauricio Ramos akiwa kwenye ya pamoja na
wanafanya kazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel Zanzibar baada ya
kufanya ziara ya kutembelea ofisi za kampuni hiyo Zanzibar.
Mkurungenzi
Mtendaji wa Millicom Group Mauricio Ramos akifurahia zawadi
aliyokabidhiwa na wanafanya kazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel
Zanzibar baada ya kufanya ziara ya kutembelea ofisi za kampuni hiyo
Zanzibar.




Toa Maoni Yako:
0 comments: