ASANTE MUNGU KWA KUNIPA UHAI.

Ndugu jamaa na marafiki, naomba niwape taarifa ya ajali niliyopata barabara ya chalinze nikiwa na dreva Patrick Ongori na rafiki yangu Mbogho Elias tukiwa tunatoka maeneo ya msata chalinze. Tunamshukuru mungu kwa kuendelea kutupa UHAI japo tuna maumivu ya mwili. Nimejifunza mambo mawili katika ajali hii.

1. Nimejifunza na kuona UKUU wa Mungu katika maisha yangu. Mungu azidi kuinuliwa na kutukuzwa.

2. Nimejifunza na kuona uwepo wa KIFO mda wowote yaweza kutokea. Tujiandae kwa tukio hili la lazima.

Asante Mungu kwa kuendelea kunipa UHAI.
Zaburi 23: 1 na kuendelea ndilo andiko la faraja kwangu wakati huu mgumu.

Na Peter Sarungi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: