Mkuu wa wilaya ya Arusha, Mhe. Gabriel Fabian Daqarro akiapa kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Mrisho Gambo aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo akisaini hati ya kiapo cha Mkuu mpya wa wilaya ya Arusha, Mhe. Gabriel Fabian Daqarro (kulia) wanaoshuhudia ni Katibu Tawala mkoa, Richard Kwitega na Afisa wa Itifaki, Mukhsin Khasim.
Viongozi mbalimbali katika Jiji la Arusha wakifatilia tukio hilo.
Mwenyekiti wa CCM na Mbunge mstaafu wa Longido, Lekule Laizer(kushoto) akimsikiliza Mjumbe wa mkutano Mkuu wa CCM wilaya ya Arusha DC, Mathias Manga.
Mkuu mpya wa wilaya ya Arusha, Mhe. Gabriel Fabian Daqarro akitoa shukrani zake baada ya kuapishwa.
Picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: