Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Leonidas Gama akipimwa afya na Muuguzi Asha Shao bungeni Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum, Joyce Sokombi akipimwa afaya na Muuguzi kutoka Hospitali ya Mkoa wa Dodoma Asha Shao. Katikati ni muuguzi mwingine Christina Chamwela.
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Costantine Kanyasu akipimwa mapigo ya moyo.
Mbunge Kanyasu akipimwa kimo.
Mbunge wa Jimbo la Nachingwe, Hassan Masala akipimwa kimo
Mbunge wa Jimbo la Makambaku, Deo Sanga akipimwa afya
Baadhi ya wabunge wakipata ushauri nasaha


Toa Maoni Yako:
0 comments: