Hali ilivyo katika Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam liko kwenye hatua za mwisho kulikamilishwa, ambapo mpaka sasa limekamilika kwa asilimia 99.5 wahusika wanasema changamoto iliyopo ni kwamba barabara zinazounganishwa na Daraja bado hazijakamilika. Picha kwa hisani ya Idrisa Magomeni.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: