Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (kulia), akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa mfumo wa taarifa ya vituo vya afya nchini uliofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Tehama wa wizara hiyo, Hermes Rulagirwa na Ofisa wa Tehama, Kenani Mwansasu.
Hapa ni kupongezana baada ya uzinduzi huo.
Mkuu wa Kitengo cha Tehama wa wizara hiyo, Hermes Rulagirwa (kulia), akizungumza na wanahabari.
Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wakiwa kwenye uzinduzi huo uliofanyika Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Jengo la Ubungo Plaza.
Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wakiwa kwenye uzinduzi huo uliofanyika Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Jengo la Ubungo Plaza.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa sekta ya afya wakati wa uzinduzi huo.


Toa Maoni Yako:
0 comments: