Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (wa tano kulia), akifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Bidhaa za China 2015, uliofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine na maofisa biashara wa China na wadau wa masuala ya biashara.
Hapa Katibu Uledi Mussa akitia saini wakati wa ufunguzi wa maonyesha hayo.
Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kwenye kufungua maonyesho ya biadhaa za China 2015, katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments: