Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa  Makambako, mkoani Njombe leo,  jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi  kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende wote kumpigia kura za ndiyo ili ashinde kwa kishindo urais.
 Wakazi wa Mwanjelwa, jijini Mbeya, wakimsikiliza Dk Magufuli akijinadi kwao baada ya msafara wake kuzuiwa eneo hilo ukitokea Uwanja wa Ndege wa Songwe ukienda Mbarali kuendelea na kampeni.
 Mama mkazi wa Igurusi wilayani Mbarali Mbeya, akifurahi baada ya kumuona Dk Magufuli.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Dk Magufuli akizungumza na wananchi wa Igurusi waliouzuia msafara wake




 Wananchi wakimshangilia Dk Magufuli alipokuwa akihutubia na kuomba kura kwao katika Mji wa Chimala, Mbarali mkoani Mbeya leo.


 Mfuasi wa CCM, akishangilia huku akiwa na picha ya Dk Magufuli  wakati wa mkutano wa kampeni Rujewa wilayani Mbarali, Mbeya leo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: