Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa Makambako, mkoani Njombe leo, jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende wote kumpigia kura za ndiyo ili ashinde kwa kishindo urais.
Wakazi wa Mwanjelwa, jijini Mbeya, wakimsikiliza Dk Magufuli akijinadi kwao baada ya msafara wake kuzuiwa eneo hilo ukitokea Uwanja wa Ndege wa Songwe ukienda Mbarali kuendelea na kampeni.
Mama mkazi wa Igurusi wilayani Mbarali Mbeya, akifurahi baada ya kumuona Dk Magufuli.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akizungumza na wananchi wa Igurusi waliouzuia msafara wake
Wananchi wakimshangilia Dk Magufuli alipokuwa akihutubia na kuomba kura kwao katika Mji wa Chimala, Mbarali mkoani Mbeya leo.
Mfuasi wa CCM, akishangilia huku akiwa na picha ya Dk Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni Rujewa wilayani Mbarali, Mbeya leo.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende wote kumpigia kura za ndiyo ili ashinde kwa kishindo urais.
Wakazi wa Mwanjelwa, jijini Mbeya, wakimsikiliza Dk Magufuli akijinadi kwao baada ya msafara wake kuzuiwa eneo hilo ukitokea Uwanja wa Ndege wa Songwe ukienda Mbarali kuendelea na kampeni.
Mama mkazi wa Igurusi wilayani Mbarali Mbeya, akifurahi baada ya kumuona Dk Magufuli.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akizungumza na wananchi wa Igurusi waliouzuia msafara wake
Wananchi wakimshangilia Dk Magufuli alipokuwa akihutubia na kuomba kura kwao katika Mji wa Chimala, Mbarali mkoani Mbeya leo.
Mfuasi wa CCM, akishangilia huku akiwa na picha ya Dk Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni Rujewa wilayani Mbarali, Mbeya leo.


Toa Maoni Yako:
0 comments: