Wateja wa Benki ya First National Bank, wakichukua Chakula cha kufuturu walichoandaliwa na benki hiyo kwajiili ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan jijini Dar es Salaam
 Wateja wa Benki ya First National Bank wakifuturu Chakuala kilichoandaliwa na benki hiyo kwajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jiji ni Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Wateja wakubwa wa Benki ya FNB, Khalifa Zidadu akizungumza na wateja wa Kiislanm wa binki hiyo wakati wa hafla ya kufutulisha wateja wake iliyofanyika Dar es Salaam
 Imamu Mkuu wa Msikiti wa Maamur uliopo Upanga Dar es Salaam, Issa Othuman Issa, akaitoa neon la Shukurani kwa viongozi wa benki ya FNB, (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kula futari ya iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Benki ya FNB, Dave Aieken (kushoto), akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa hafla ya kuwaandia futari kutokana na Mwezi Mtukuru wa Ramadhani jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Benki ya FNB, Dave Aieken (katikati), akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa hafla ya kuwaandia futari kutokana na Mwezi Mtukuru wa Ramadhani jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: