Katika picha hii ya Maktaba, Amiri Jeshi Mkuu , Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzani (JWTZ) Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali ambaye hivi karibuni, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr. Nkosazana Dlamini Zuma amemteua kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika nchi Sudani ya Kusini.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: