Sauti Sol toka nchini Kenya mwishoni mwa wiki (21/02/2015) wamepiga show ya kufufuka mtu ndani ya kiota cha burudani chanye hadhi ya kitalii Jembe Beach ndani ya party lililopewa jina la JEMBEKA, likiandaliwa na Kituo kipya cha redio jijini Mwanza Jembe FM 93.7.

Mashabiki walitoa ushirikiano wa kila htua zilizokuwa zikiendelea stejini.

Kenyan Afro Pop (2014 MTV EMA Best Worlwide Act Nominees) walifanya kazi ya ukweli...
Kutoka kushoto ni Willis Austin, Savara Mudigi Delvin na King Bienaime.

'PAMOJA SANA' CEO wa Jembe ni Jembe DR. Sebastian Ndege (wa pili kutoka kulia) akiwa na 'Team Jembe' Dvj Frank (wa kwanza kulia), wengine ni Dvj Chriss Young (wa kwanza kushoto), Dvj David (wa pili kushoto) na G. Sengo (wa tatu kushoto)
"Mwanza
<'Changamka' ilifumuliwa na watu wakaJEMBEKa...!!
You whaaaaaat....
Mtafutano....
Marafiki toka mataifa mbalimbali nao walijumuika hadi kwenye mashindano ya kusakata katika jEMBEKa Party iliyofanyika mwishoni mwa wiki Jembe Beach jijini Mwanza.
Drummer Boy...aka mkaanga chips..akiwa kikaangoni.
Selfie ya GSengo na Keybordist wa Sauti Sol.
Hapa msanii wa muziki wa kizazi kipya toka Mwanza Director Shahibu alikuwa akiimba wimbo aliomshirikisha mwimbaji wa JJ Band Alice.
Wow....!
Mbunifu wa mavazi ambaye pia ni mtengeneza mavazi Seth aka Bikira wa Kisukuma aka FUNDI (katikati) ni sehemu ya watu muhimu tukioni.
Take two...
Watu muhimu sana.
Sauti Sol na mashabiki wao....
'PAMOJA SANA'
Kutoka Kituo kipya cha redio jijini Mwanza Jembe FM 93.7 hii ni jEMBe Team kutoka kushoto ni Dvj Chriss Young, Dvj David, Dvj Frank, Producer Oxy, Program Master Eliud aka Dj Kagz.
Wahabarishaji.
PichaZzzzz....!!
Show ya Jembe Djz ndani ya jEMBEKa pARTy.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: