Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku (mwenye miwani) na Afisa wa Mawasiliano na Masoko Bi. Lucy Mbogoro (kushoto) wakipozi kwenye picha ya pamoja na wateja waliopata tiketi zenye punguzo la bei kwenda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bw. Manish Rughani tiketi ya kwenda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua nyingi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: