Karibuni wateja wote MARANATHA GRAPHICS SOLUTIONS hawa ni mabingwa wa kudizaini na uchapishaji aina mbali mbali kulingana na mahitaji yako. Unaweza kuwasiliana nao 0715 040 310, Wanapatikana Mivinjeni-Kurasini jijini Dar es Salaam.
Kutana na Mkurugeni wa Maranatha Graphics Solutions, Imani Ntila... Mtaalamu wa mambo yote.

 Mfanyakazi wa Maranatha Graphics Solutions akibandika stiker.

Wanaprint pia vikombe.

Kama utahitaji mabango ya nakshi nakshi waone Maranatha Graphics Solution. 


Mkurugeni wa Maranatha Graphics Solutions, Imani Ntila akiwa kazini.
 
 Mara baada ya kazi akishoo love.

Sikuzote mteja ni mfalme hufuatwa alipo na kuchukiliwa vipimo stahiki.


Wanaprint tisheti kwa mitindo tofauti unayopenda wewe mteja.
Nembo za biashara.

Mabango ya matangazo kwenye magari.
Kuchapisha mikoba. Kazi zote zimefanywa na MARANATHA GRAPHICS SOLUTIONS.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: